06
Sep

Jinsi ya Kutambua Mafunzo Mapotovu

Katika Kipindi hiki, Esther Mwikali kutoka Biblia Husema Radio anamhoji Wanjiru Ng’ang’a ambaye ni mratibu wa Project Priscilla chini ya ACFAR Kenya. Esther anammuuliza Wanjiru baadhi ya maswali yakiwemo jinsi ambavyo wakristo wanaweza kutambua mafunzo potovu na vile ambavyo wanafaa kufanya baada ya kutambua ya kwamba wamekua wakifuata manabii au makanisa ya uongo. 

Sikiliza kipindi hiki ili uweze kuelewa jinsi ambavyo utambuzi wa kibiblia ni dawa dhidi ya udanganyifu.

You are donating to : Greennature Foundation

How much would you like to donate?
$10 $20 $30
Would you like to make regular donations? I would like to make donation(s)
How many times would you like this to recur? (including this payment) *
Name *
Last Name *
Email *
Phone
Address
Additional Note
paypalstripe
Loading...